Posts

Showing posts from May, 2015

BENKI YA CRDB YAKABIDHI HUNDI YA SH. MILIONI 20 KWA MEYA WA KINONDONI

Image
  Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akisaini kitabu cha wageni alipowasili ofisini kwa Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda, (katikati). Kushoto ni Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja, Tully Mwambapa.    Meya wa Manispaaya Kinondoni, Yusuf Mwenda (kushoto) akibadilishana mawazo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei muda mufupi kabla hajakabidhi hundi ya sh. milioni 20 baada ya meya huyo kupata tuzo ya Meya Bora Afrika iliyotolewa na Rais Jose Eduardo do Santos wa Angola.      Meya wa Manispaaya Kinondoni, Yusuf Mwenda (kushoto) akiambatana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei.   Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja, Tully Mwambapa akizungumza katika hafla hiyo. Meya wa Kinondoni, Yusuf Mwenda akiwa na Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Mussa Natty.  Dk. Charles Kimei akizungumza katika hafla ya kukabidhi hundi.    Mkurugenzi Mtendaji wa

Benki ya Exim Ilivyoshiriki Katika Mbio za Magari Tanga

Image
Meneja wa Benki ya Exim Tawi la Tanga, Bw. Gabriel masanja (wapili kulia) akipeana mkono na Bw. Rajpaul Singh Dhani (kulia) dereva wa gari ya mashindano iliyoiwakilisha benki hiyo katika mchezo wa mashindano ya magari uliyofanyika mkoani Tanga hivi katibuni. Wengine katika picha ni wafanyakazi wa benki hiyo tawi la Tanga.

SEMINA YA WANAHISA WA BENKI YA CRDB YAFANYIKA ARUSHA

Image
 Mkurugezi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akifungua semina ya Wanahisa wa Benki ya CRDB katika ukumbi wa AICCjijini Arusha leo.  Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya CRDB, Martin Mmari akizungumza wakati wa semina ya Wanahisa wa Benki ya CRDB.  Mwanahisa akiuliza swali. Wajumbe wa bodi. Katibu wa Benki, John Rugambwa akizungumza wakati wa semina ya Wanahisa wa Benki ya CRDB. Wanahisa. Baadhi ya maofisa wa Benki ya CRDB wakiwa katika semina hiyo. Wanahisa. Wanahisa wakifuatilia semina hiyo. Meneja Mwandamizi Huduma za Uwakala, Jessica Nyachiro akitoa mada kuhusu Fursa kupitia Uwakala wa Benki ya CRDB, wakati wa semina ya Wanahisa wa benkihiyo iliyofanyika katika ukumbi wa AICC jijini Arusha. Mkurugenzi wa Masoko Huduma kwa Wateja, Tully Mwambapa (kushoto) akifuatilia semina hiyo. Prof. Mohamed Warsame kutoka Kampuni ya Dhow Financials akitoa mada kuhusu Ukuzaji wa Mitaji kwa Kampun

Mamilioni ya Kopa Bayport yazidi kupata wenyewe

Image
Meneja Masoko na Mawasiliano wa Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services inayojihusisha na mikopo, Ngula Cheyo, katikati akizungumza jambo wakati wa droo ya pili ya Kopa Bayport kwa njia ya mtandao wa www.kopabayport.co.tz, ambapo jumla ya washindi watatu kila mwezi wanapatikana na kila mmoja kujishindia jumla ya Sh Milioni moja. Kulia ni Afisa wa Huduma kwa Wateja wa taasisi hiyo, Gladys John, huku kushoto akiwa ni bwana Humud Abdulhussein, Msimamizi kutoka Bodi ya Michezo ya kubahatisha Tanzania. Picha zote na Mpiga Picha wetu. Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam SHINDANO la Kopa Bayport kwa njia ya mtandao linaloendeshwa na taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, limezidi kuchanja mbuga, baada ya wateja watatu wa mwezi Mei kuibuka na Sh Milioni moja kwa kila mmoja, huku mikoa ya Bukoba, Njombe na Dar es Salaam ikichanua katika droo iliyochezeshwa jana, jijini Dar es Salaam. Wateja hao walioshinda katika shindano hilo ni Tryphone Mashamba m

BENKI YA CRDB KUFANYA MKUTANO WA 20 WA WANAHISA JIJINI ARUSHA

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akiongea na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari jijini Arusha akitoa taarifa ya mkutano mkuu wa ishirini  wa wanahisa wa Benki ya CRDB  unaotarajia kufanyika May 8  jijini Arusha. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, akizungumza na waandishi wa habari. Kushoto ni Naibu Mkurugenzi Mtendaji Huduma Mtambuka Benki ya CRDB Bi.Esther Kitoka na kulia ni Naibu Mkurugenzi Mtendaji Uendeshaji na Huduma kwa Wateja Benki ya CRDB, Saugata Bandyopadhyay Baadhi ya waandishi wa habari kutoka jijini Arusha wakiwa katika mkutano huo. Meneja Mahusiano wa Benki ya CRDB,  Godwin Semunyo  akiwa katika mkutano huo. Mkurugenzi wa Masoko,Utafiti na Huduma kwa Wateja, T ully  Esther Mwambapa akiongea katika mkutano na waandishi wa habari katika maandalizi ya mkutano mkuu wa ishirini wa wanahisa wa Benki ya CRDB Kulia ni Katibu wa Bodi ya CRDB, John Baptist Rugambo, katikati