Meneja wa Benki ya Exim Tawi la Tanga, Bw. Gabriel masanja (wapili
kulia) akipeana mkono na Bw. Rajpaul Singh Dhani (kulia) dereva wa gari
ya mashindano iliyoiwakilisha benki hiyo katika mchezo wa mashindano ya
magari uliyofanyika mkoani Tanga hivi katibuni. Wengine katika picha ni
wafanyakazi wa benki hiyo tawi la Tanga.
No comments:
Post a Comment