Afisa Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Sostenes Lyimo, akitoa maelezo kwa Mkurugenzi  Mkuu
 wa NSSF, Prof. Godious Kahyarara, na wasaidizi wake wakati 
walipotembelea katika Banda la Maonesho la Mfuko huo kwenye Viwanja vya  Sabasaba jana. Picha na Mafoto Blog
Afisa 
Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Janeth  Ezekiel,  akizungumza 
na mwananchi aliyefika kwenye Banda lao la Maonesho katika Viwanja vya 
Sabasaba wakati akimwelekeza jambo kuhusu mafao ya Mfuko huo. 
 Afisa
 Mwandamizi na Uwekezaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Anna Shayo, 
akimfafanulia jambo mmoja kati ya wananchi waliofika katika Banda la 
Mfuko huo katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea kwenye 
Viwanja vya Mwalimu Nyerere (Sabasaba)  jijini Dar es Salaam.
 Mwananchi
 akitoa maoni yake katika mashine maalum  baada ya kupata huduma kwenye 
Banda la Maonesho la Mfuko wa Pensheni wa PPF,  Maonesho ya KImataifa ya
 Biashara yanayoendelea  Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es 
Salaam.
 Mwananchi
 akitoa maoni yake katika mashine maalum  baada ya kupata huduma kwenye 
Banda la Maonesho la Mfuko wa Pensheni wa PPF,  Maonesho ya KImataifa ya
 Biashara yanayoendelea  Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es 
Salaam.
 Afisa
 Huduma kwa Wateja wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Mwajuma Msina, 
akimkabidhi Kitambulisho Mwanachama Mohamed Hassan (23) aliyejiunga na 
huduma ya ‘Wote Scheme’ wakati alipotembelea kwenye Banda la Maonesho la
 Mfuko huo katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea kwenye
 Viwanja vya Mwalimu Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam. KWA PICHA 
ZAIDI BOFYA READ MORE
 Meneja
 Uhusiano wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Lulu Mengele,  akimuongoza 
Mkurugenzi Mkuu wa PPF William Erio (kulia) na Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, 
Prof. Godious Kahyarara (katikati) walipokuwa wakitembelea Banda la 
Mfuko huo kwenye maonesho ya Biashara ya Kimataifa viwanja vya Sabsaba.
 Maafisa
 wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Saluna Aziz Ally (kulia) na Glory Maboya, 
wakiendelea kutoa huduma kwa wateja wao waliofika katika Banda la 
maonesho Sabasaba la mfuko huo.
 Sehemu
 ya Wananchi wakiwa ndani ya Banda la PPF wakipata huduma na maelezo 
kuhusu namna ya kujiunga na mfuko huo na jinsi wanachama wanavyoweza 
kufaidika kupitia michango yao.
Afisa 
Michango  wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Glory Maboya, akimkabidhi 
Kitambulisho Mwanachama Hussein Nuru  (25) aliyejiunga na huduma ya 
‘Wote Scheme’ wakati alipotembelea kwenye Banda la Maonesho la Mfuko huo
 katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea kwenye Viwanja 
vya Mwalimu Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam.
 Sehemu
 ya Wananchi wakiwa ndani ya Banda la PPF wakipata huduma na maelezo 
kuhusu namna ya kujiunga na mfuko huo na jinsi wanachama wanavyoweza 
kufaidika kupitia michango yao.
 Baadhi
 ya Wananchi wakijaza Fomu za kujiunga na huduma ya Wote Scheme baada ya
 kupata maelezo ya kutosha nay a kuridhisha kuhusu huduma hiyo, wakati 
walipotembelea banda ya PPF.
 Baadhi
 ya Wananchi wakijaza Fomu za kujiunga na huduma ya Wote Scheme baada ya
 kupata maelezo ya kutosha nay a kuridhisha kuhusu huduma hiyo, wakati 
walipotembelea banda ya PPF.
 Sehemu
 ya Wananchi wakiwa ndani ya Banda la PPF wakipata huduma na maelezo 
kuhusu namna ya kujiunga na mfuko huo na jinsi wanachama wanavyoweza 
kufaidika kupitia michango yao.
 Sehemu
 ya Wananchi wakiwa ndani ya Banda la PPF wakipata huduma na maelezo 
kuhusu namna ya kujiunga na mfuko huo na jinsi wanachama wanavyoweza 
kufaidika kupitia michango yao.
 Sehemu
 ya Wananchi wakiwa ndani ya Banda la PPF wakipata huduma na maelezo 
kuhusu namna ya kujiunga na mfuko huo na jinsi wanachama wanavyoweza 
kufaidika kupitia michango yao.
 Meneja
 Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PPF Elihuruma Mgoi, akimkabidhi 
Kitambulisho Mwanachama Mussa Mzobora (44) aliyejiunga na huduma ya 
‘Wote Scheme’ wakati alipotembelea kwenye Banda la Maonesho la Mfuko huo
 katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea kwenye Viwanja 
vya Mwalimu Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam.
 Afisa Uendeshaji wa PPF Pauline Msanga, akitoa huduma......
 
 Sehemu
 ya Wananchi wakiwa ndani ya Banda la PPF wakipata huduma na maelezo 
kuhusu namna ya kujiunga na mfuko huo na jinsi wanachama wanavyoweza 
kufaidika kupitia michango yao.
 Sehemu
 ya Wananchi wakiwa ndani ya Banda la PPF wakipata huduma na maelezo 
kuhusu namna ya kujiunga na mfuko huo na jinsi wanachama wanavyoweza 
kufaidika kupitia michango yao.
 Sehemu
 ya Wananchi wakiwa ndani ya Banda la PPF wakipata huduma na maelezo 
kuhusu namna ya kujiunga na mfuko huo na jinsi wanachama wanavyoweza 
kufaidika kupitia michango yao.
Afisa Msaidizi wa Huduma kwa Wateja wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Mohamed Siaga akifurahia huku kionyesha  tuzo walizokabidhiwa.
 Baadhi ya wafanyakazi wa PPF wakiwa na furaha baada ya kukabidhiwa kikombe chao
 Mkurugenzi
 Mkuu wa PPF, William Erio, akihojiwa na Waandhi wa habari baada ya 
Mfuko wake kukabidhiwa Kikombe cha ushindi wa kwanza wa Kundi la Mifuko 
ya Hifadhi ya jamii na Makampuni ya Bima katika Maonesho ya 40 ya 
Biashara ya Kimataifa Sabasaba.
Picha ya pamoja......
 
0 Comments