TAARIFA MUHIMU KUTOKA BENKI YA AFRIKA








Mpendwa Mteja,


YAH: KUFUNGWA KWA BENKI SIKU YA JUMAMOSI, 31/12/2016


Tunapenda kukujulisha kwamba benki itafungwa siku ya Jumamosi, tarehe 31/12/2016. kwaajili ya kupisha uboreshaji wa mfumo wa kiufundi wa benki na huduma zitarejea kama kawaida siku ya jumatatu, tarehe 2/01/2017.




Ijumaa, 30 Desemba 2016


Tutakuwa wazi kuanzia saa 2: 30 Asubuhi -10:00 Jioni



Jumamosi, 31 Desemba 2016


Tutafunga kupisha uboreshaji wa mfumo wa kiufundi wa Benki



Jumatatu , 2 Januari 2017


Kurejea kwa Huduma




Unashauriwa kufanya miamala yote ya muhimu kabla ya siku tajwa hapo juu, ili kuepusha ucheleweshaji usio wa lazima.


Huduma za kibenki kwa njia ya mtandao (Internet Banking), ATMs na Visa cards zitaendela kupatikana kama kawaida katika kipindi tajwa hapo juu.


Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza na tunawahakikishia dhamira yetu ya kuendelea kuwahudumia ipasavyo. Kwa maelezo Zaidi tafadhali tembelea tawi letu lolote lililo karibu nawe au piga 0782 262 291.


Tunakutakia Heri ya Mwaka Mpya wa 2017.


Imetolewa na Utawala


28.12.2016

No comments:

Post a Comment

Pages