Mwezi mtukufu wa Ramadhan, umebakiza takribani majuma mawili tu. Kwa maana
hiyo, maandalizi ya sikukuu ya Eid-El-Fitri tayari yameshaanza. Eid huwa ni
wakati wa furaha na mara nyingi huenda sambamba na kujumuika na ndugu,jamaa
na marafiki kufurahi na kutukuza yale yote aliyotujalia Mwenyezi Mungu. *
* Palipo na mkusanyiko wa watu, huwa pia pana "mtoko". Kila binadamu
hupenda kupendeza. Wenzetu wa jinsia ya kike,hupenda sio tu kupendeza bali
pia kusifiwa kwamba "wamependeza". Kupendeza, kwa bahati mbaya, hakutokei
kama ajali.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment