Kaimu
Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Jimmy
Myalize (kushoto) akikabidhi zawadi kwa mfanyakazi aliyeitumikia benki
hiyo kwa kipindi kirefu cha miaka 27, Said Kilala wakati wa mkutano wa
idara ya uendeshaji ya benki hiyo (COO) jijini Dar es Salaam mwishoni
mwa wiki. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja cha NBC,
Ngwitika Mwakahesya.
Kaimu
Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Jimmy
Myalize (kushoto) akikabidhi zawadi kwa mshindi wa jumla katika
vipengele vyote wa shindano la kumtafuta mfanyakazi mahiri katika
idara hiyo, Mwanaisha Ayosi wakati wa mkutano wa idara ya uendeshaji ya
benki hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kulia ni Mkuu wa
Kitengo cha Huduma kwa Wateja cha NBC, Ngwitika Mwakahesya.
Kaimu
Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Jimmy
Myalize (kushoto) akikabidhi cheti kwa mmoja wa washindi wa shindano la
kutafuta wafanyakazi mahiri katika idara hiyo, Emmanuel Simon wakati wa
mkutano wa Idara ya Uendeshaji ya benki hiyo jijini Dar es Salaam
mwishoni mwa wiki. Kulia ni Everline Ugomba kutoka ofisi ya COO.
Kaimu
Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Jimmy
Myalize (kulia) akizungumza wakati wa mkutano wa idara ya uendeshaji ya
benki hiyo (COO) jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Katika mkutano
huo wafanyakazi hao waliweza kuweka mikakati mbalimbali ya kufanikisha
maendeleo ya benki hiyo.
Kaimu
Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Jimmy
Myalize (wa nne kushoto waliosimama) akipozi kwa picha na washindi na
washiriki wa shindano la kutafuta watumishi mahiri katika vipengele vya
Respect, Integrity, Service Excellence, Stewardship wakati wa mkutano
wao jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
No comments:
Post a Comment