Mfanyakazi
wa Benki ya NBC kitengo cha mauzo, Erica Mwaipasi (kulia) akizungumza
na baadhi ya washiriki wa mkutano wa siku tatu wa Chama cha Watumiaji
wa Elimu ya Kompyuta katika Sayansi inayohusu Utafiti wa Uhai na Viumbe
hai Afrika (ASBCB) uliofanyika jijini Dar es Salaam. NBC ilikuwa mmoja
wa wadhamini wa mkutano huo ambao pamoja na mambo mengine ulijadili
jinsi elimu hiyo inavyoweza kusaidia ufumbuzi wa tiba ya magonjwa
mbalimbali ya binadamu.
Maofisa
wa Benki ya NBC Kitengo cha Mauzo, Erica Mwaipasi (kulia) na Prosper
Massano (katikati) wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya
Vision Investments, Ally Nchahaga katika mkutano wa siku tatu wa Chama
cha Watumiaji wa Elimu ya Kompyuta katika Sayansi inayohusu Utafiti wa
Uhai na Viumbe hai Afrika (ASBCB) uliofanyika jijini Dar es Salaam
juzi. NBC ilikuwa mmoja wa wadhamini wa mkutano huo ambao pamoja na
mambo mengine ulijadili jinsi elimu hiyo inavyoweza kusaidia ufumbuzi wa
tiba ya magonjwa mbalimbali ya binadamu.
Mfanyakazi
wa Benki ya NBC kitengo cha mauzo, Prospper Massano (katikati)
akizungumza na Promise Mwakale katika mkutano wa siku tatu wa Chama cha
Watumiaji wa Elimu ya Kompyuta katika Sayansi inayohusu Utafiti wa Uhai
na Viumbe hai Afrika (ASBCB) uliofanyika jijini Dar es Salaam. NBC
ilikuwa mmoja wa wadhamini wa mkutano huo ambao pamoja na mambo mengine
ulijadili jinsi elimu hiyo inavyoweza kusaidia ufumbuzi wa tiba ya
magonjwa mbalimbali ya binadamu. Kulia ni Erica Mwaipasi wa NBC.
Baadhi ya washiriki wa mkutano huo.
Baadhi ya washiriki wa mkutano wakifuatilia kwa makini mada mbalimbali wakati wa mkutano huo jijini Dar es Salaam.
Mtakwimu
kutoka Taasisi ya taifa ya utafiti wa magonjwa ya binadamu Tanzania
(NIMR), Dk Bruno Mmbando akielezea umuhimu wa takwimu katika
kukabiliana na changamoto mbalimbali za magonjwa wakati wa mkutano huo.
No comments:
Post a Comment