BENKI YA CRDB KUFANYA MKUTANO WA 20 WA WANAHISA JIJINI ARUSHA


Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akiongea na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari jijini Arusha akitoa taarifa ya mkutano mkuu wa ishirini  wa wanahisa wa Benki ya CRDB  unaotarajia kufanyika May 8  jijini Arusha.
SAM_2456Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, akizungumza na waandishi wa habari. Kushoto ni Naibu Mkurugenzi Mtendaji Huduma Mtambuka Benki ya CRDB Bi.Esther Kitoka na kulia ni Naibu Mkurugenzi Mtendaji Uendeshaji na Huduma kwa Wateja Benki ya CRDB, Saugata Bandyopadhyay
SAM_2443Baadhi ya waandishi wa habari kutoka jijini Arusha wakiwa katika mkutano huo.
SAM_2437Meneja Mahusiano wa Benki ya CRDB, Godwin Semunyo akiwa katika mkutano huo.
SAM_2432Mkurugenzi wa Masoko,Utafiti na Huduma kwa Wateja, Tully Esther Mwambapa akiongea katika mkutano na waandishi wa habari katika maandalizi ya mkutano mkuu wa ishirini wa wanahisa wa Benki ya CRDB
SAM_2450Kulia ni Katibu wa Bodi ya CRDB, John Baptist Rugambo, katikati ni Mkurugenzi wa Fedha Frederick Nshekanabo, Kushoto Tully Esther Mwambapa ambaye ni Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja.
SAM_2454Mwandishi kutoka TV1, Arusha Jane Edward akijaribu kuchukua taswira katika mkutano huo.
SAM_2447 Meneja Kitengo cha Huduma kwa Wateja kwa njia ya simu, Ena Mwangama (kulia) na Edwin Nchimbi Ofisa Masoko wakifutilia mkutano huo.
SAM_2458Kulia ni Meneja Usajili wa Hisa kutoka Benki ya CRDB Emmanuel Ng’ui na Dorice Ngikari kutoka ofisi ya Katibu wakifatilia jambo
SAM_2460Mwandishi wa habari kutoka Mwananchi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Arusha Media Mussa Juma akiuliza swali kwa Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Crdb Dk. Charles Kimei.
Na Pamela Mollel, Arusha

No comments:

Post a Comment

Pages