WAWILI WANYAKUA PIKIPIKI SHINDANO LA SHIKA NDINGA LA EFM TEMEKE MWEMBE YANGA



Mshindi wa pikipiki katika shindanola Shika ndinga la EFM kwa wanawake kutoka wilaya ya Temeke ambaye aliondoka na pikipiki ya Sanmoto katika Viwanja vya Mwembe Yanga jijini Dar es salaam Jumapili.

Kikundi Cha Muziki wa Singeli kikitoa burudani kwa wakazi wa Temeke waliofurika katika Viwanja vya Mwembe Yanga

umati wa watu uliofika katika Viwanja vya mwembe Yanga katika shindano la Shika Ndinga liliandaliwa na EFM Radio

umati wa watu uliofika katika Viwanja vya mwembe Yanga katika shindano la Shika Ndinga liliandaliwa na EFM Radio

Meneja matukio wa Efm Neema akiwavisha washiriki medali maalum za efm waliofika tano bora

Meneja wa EFM radio Ssebo akizungumza kabla ya kukabidhi zawadi ya pikipiki kwa washindi

Meneja Masoko wa kampuni ya Mosan ya hapa nchini Tanzania,Jakson Stephen akikabidhi pikipiki aina ya Sanmoto kwa washindi Pili Hassna na Abdalah Twaha mara baada ya kuibuka washindi katika shindano la Shika ndinga Wilaya ya Temeke liliandaliwa na EFM

Project Meneja wa kampuni ya Simu za mkononi ya Zantel Tanzania , Salum Madoga akizungumza na wadu waliofika uwanja ni hapo juu ya umuhimu wa kutumia Zantel.

Meneja Masoko wa kampuni ya Mosan ya hapa nchini Tanzania,Jakson Stephen akizungumza juu ya umuhimu wa kutumia pikipiki ya Sanmoto

Mtangazaji wa Kipindi cha Michezo cha EFM Tunu Shenkome akiwa namwenzie wakifatilia shindano hilo

Washiriki wakiwa Wasichana katika shindano la shika Ndinga

Washiriki wavulana wakiwa katika shindano la Shika ndinga

Mshindi kwa wanaume washindano la Sjika ndinga, Abdallah Twaha akiangukia gari mara baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa pikipiki ya Sanmoto

No comments:

Post a Comment

Pages