Kampuni
ya Proin promotions - buy quality bongo movies here ambayo wiki mbili
zilizopita iliingiza filamu yake mpya na kali na iliyovunja rekodi
katika Soko hapa nchini ijulikanayo kama MAPENZI YA MUNGU ambayo
imechezwa na Lulu, Linah na Mama Kanumba sasa Kampuni hiyo kuingiza
sokoni Filamu yake nyingine Muda mfupi ujao iitwayo NEVER GIVE UP ambayo
filamu hiyo imechezwa na Slim, Hashim Kambi, Irene Paul na Msanii Nguli
na wa kimataifa kutoka Nchini Ghana Van Vicker...
Ni
filamu ambayo jina lake limehakisi Maudhui yaliyomo ndani ya Filamu
hiyo......Kaeni Mkao wa Kula kitu kingine Kikali hiko kinakujia...
Kwa order yako piga 0712 390 200
No comments:
Post a Comment