Mungu amekuwa mwema kwangu tangia nilipomkubali kuwa mwokozi wangu na
nguzo yangu. Nimeona Mungu akinishindia na magumu ninayopitia na
niliyoyapitia katika maisha yangu. Nimeona Mungu huyu unayemwabudu kila
siku akinivusha na kunitia moyo pale ninapoona akili yangukufikiri jinsi ya
kutatua yale yaliyombele yangu. Mungu huyu ni waajabu kwangu, kaniwezesha
katika uaandaji wa albamu hii mpya ya "NIPE NGUVU YA KUSHINDA". Nazidi
kumshangaa Mungu huruma zake na fadhili zake kwangu - Flora Mbasha
No comments:
Post a Comment