MKUU WA WILAYA YA HAI,ANTHONY MTAKA ATEMBELEA KIWANDA CHA MAZIWA CHA KINA MAMA WA NRONGA


Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka akiongozana na Mchungaji wa Usharika wa Nronga,Jorome Kimaro ,kulia kwake ni katibu na meneja wa Chama cha Ushirika wa Maziwa cha Nronga Heln Ainea alipotembelea Chma hicho. 
Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka akiteta jambo na Katibu wa Chama cha Ushirika wa Maziwa cha Nronga Helen Ainea wakati wa mkutano mkuu wa 28 wa Ushirika huo uliofanyika katika kiwanda cha zamani cha maziwa cha ushirika huo. 
Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka akizungumza na wanachama wa chama cha Ushirika wa Maziwa cha Nronga wakati wa mkutano mkuu wa 28 wa Ushirika huo. 
Baadhi ya wanachama wa Chama cha Ushirika wa Maziwa cha Nronga. 
Baba Mchungaji wa Usharika wa Nronga,Jorome Kimaro akitoa neno wakati wa ufunguzi wa mkutano wa 28 wa Ushirika wa Maziwa wa Nronga. 
Baadhi ya wanachama. 
Mwenyekiti wa Chama cha Ushirika wa Maziwa cha Nronga wilayani Hai,Apansia Lema akisoma taarifa mbele ya mgeni rasmi katika mkutano wa 28 wa chama hicho. 
Baadhi ya wanachama wa chama cha Ushirika wa Maziwa cha Nronga wakimpongeza mgeni rasmi ,mkuu wa wilaya ya Hai,Athony Mtaka mara baada ya kutoa hotuba yake ikiwa ni pamoja na kushughulikia changamoto zinazoukabili ushirika huo papo hapo. 
Katibu na Meneja wa Ushirika wa Maziwa wa Nronga,Helen Ainea akimueleza jambo Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka alipotembelea kiwanda hicho. 
Kiwanda cha kwanza cha Ushirika wa Maziwa cha Nronga kilichopo Nronga-Machame wilayani Hai. 
Katibu na Meneja wa Ushirika wa Maziwa wa Nronga,Helen Ainea akimmuonesha Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka maeneo mbalimbali yanayotumika katika uandaaji wa maziwa katika kiwanda hicho. 
Katibu na Meneja wa Ushirika wa Maziwa wa Nronga,Helen Ainea akimueleza jambo Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka alipotembelea kiwanda hicho.
Mkuu wa wilaya ya Hai,Athony Mtaka akitizama bidhaa ya maziwa katika kiwanda cha Ushirika huo kilichopo Nronga -Machame. 
Bidhaa ya Maziwa ya Chama cha Ushirika cha Nronga . 
Kiwanda cha Maziwa cha Ushirika wa Maziwa cha Nronga wilayani Hai, 
Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka akizungumza jambo na Mwandishi wa habari James Paul alipotembelea kiwanda hicho. 
DC Mtaka akiangalia mja ya mtambo unaotumika katika uandaji wa Maziwa katika kiwanda cha Ushirika wa Maziwa wa Nronga. 
Sehemu ya mitambo hiyo.
Na Dixon Busagaga wa Kanda ya Kaskazini.

No comments:

Post a Comment

Pages