MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA CRDB DK. CHARLES KIMEI ATEMBELEA MAONESHO YA SABASABA 2016



Dk. Charles Kimei akifurahia huduma za Mfuko wa Pensheni wa LAPF.
Ofisa Matekelezo Mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF, Habiba Kisaka akitoa maelezo kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB juu ya huduma wanazotoa.
Wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB pamoja na maofisa wa benki hiyo.

Ofisa Matekelezo Mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF, Habiba Kisaka akimkaribisha Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei alipotembela banda hilo.
Dk. Kimei akisaini kitabu cha wageni katika banda la LAPF.
Ofisa wa Fedha wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF, Lucia Chuwa akimkaribisha Dk. Kimei.




Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akiangalia aina mbalimbali za simu katika banda la Halotel.




Dk. Kimei akipata maelezo kuhusu mtandao wa Halotel unavyofanya kazi.




Dk. Kimei akilipa fedha kwa ajili ya kununua simu ya Halotel.


Mkurugenzi wa Kanda wa Kampuni ya Simu ya Halotel, Alex Thiem akimpa maelekezo Dk. Kimei kuhusu mtandao wa simu ya Halote.
DK. kimei akipata maelezo alipotembelea Kampuni ya Total.
DK. kimei akisaini kitabu cha wagei katika banda la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Dk. Kimei na ujumbe wake wakiwa katika banda la Chuo Kikuu.
Dk. Anold Towo kutoka Kurugenzi ya Huduma za Jamii Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, akitoa maelezo kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei.

Dk. Kimei akiangalia saa yake wakati akitoka katika banda la Chuo Kikuu.
Dk. Kimei akipokea zawadi.
Dk. Kimeia akisaini kitabu katika banda la Kampuni ya Property.
Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Property, Saleh Omary akimuonesha Dk. Kimei picha mbalimbali za viongozi waliotembelea banda hilo.
Dk. Kimeia akiangali Pampu ya kisima.
Wateja wa Benki ya CRDB wakipata huduma za kifedha katika tawi linalotembea lililopo katika viwanja vya Sabasaba. 

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akiwasili katika banda la CRDB kwenye Maonesho ya Sabasabasa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akisalimiana na wafanyakazi wa benki hiyo alipofika katika banda la CRDB kwenye Maonesho ya Sabasabasa.
Ofisa Uhusiano Mwandamizi wa Benki ya CRDB, Willy Kamwela akitoa maelezo kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei alipotembelea banda la CRDB katika Maonesho ya Sabasaba.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akiwa katika banda la CRDB.
Dk. Kimei akishuhudia wateja wakihudumiwa.
Mkurugenzi wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya benki hiyo yaliyopelekea benki ya CRDB kupata tuzo ya mshindi katika sekta ya mabenki wakati alipotembelea maonyesho ya Biashara ya 40 ya Kimataifa katika viwanja vya mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya benki hiyo yaliyopelekea benki ya CRDB kupata tuzo ya mshindi katika sekta ya mabenki wakati alipotembelea maonyesho ya Biashara ya 40 ya Kimataifa katika viwanja vya mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

Wateja wakipata huduma.

No comments:

Post a Comment

Pages