MATUKIO KATIKA PICHA: MKUTANO WA 26 WANACHAMA WA MFUKO WA PPF JIJINI ARUSHA LEO



Mgeni rasmi wa Mkutano wa 26 wa Mwaka wa Wanachama wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Phillip Mpango akitoa hotuba yake wakati akiufungua Mkutano huo, unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC, Jijini Arusha. Akifungua Mkutano humo, Waziri Mpango ameupongeza Mfuko huo kwa kwa kutekeleza kwa vitendo Mpango wa pili wa Maendeleo ya Taifa wa Miaka mitano na kuhakikisha kuwa Tanzania inakuwa nchi ya Uchumi wa kati ifikapo mwaka 2015 kupitia kwenye uwekezaji wa viwanda. akilizungumzia swala la waajiri wenye tabia ya kutowaunganisha wafanyakazi wao na mifuko ya jamii, Waziri Mpango amesema kufanya hivyo ni kwenda kinyume na sheria ya nchi, hivyo amewataka Waajiri wenye tabia hiyo kuacha mara moja.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo akizungumza kabla ya kumkaribisha Mgeni Rasmi kufungua Mkutano wa 26 wa Mwaka wa Wanachama wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC, Jijini Arusha.

Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Pensheni wa PPF, Ramadhan Hijjah akihutubia katika ufunguzi wa Mkutano wa 26 wa Mwaka wa Wanachama wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC, Jijini Arusha.

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, William Erio akitoa taarifa fupi ya Mfuko kwa Wadau na Wanachama, katika Mkutano wa 26 wa Mwaka wa Wanachama wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC, Jijini Arusha.

Mkurugenzi wa Fedha wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bw. Martin Mmari akiwasilisha mada katika Mkutano wa 26 wa Mwaka wa Wanachama wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC, Jijini Arusha.


Sehemu Wadau na Wanachama wa Mfuko wa Pensheni wa PPF wakifatilia Mkutano huop katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC, Jijini Arusha.

Sehemu wa Wakurugenzi wa Mifuko ya Jamii, wakiwa katika Mkutano huo.




















































































































































































No comments:

Post a Comment

Pages