ZANTEL YATOA MSAADA WA VITABU 152 KWA CHUO CHA KARUME CHA SAYANSI NA UFUNDI CHA UNGUJA,ZANZIBAR






Mwenyekiti wa Zantel, Rachel Samren (wa pili kushoto) akikabidhi vitabu kwa Mkuu wa Chuo cha Karume cha Sayansi na Ufundi, Haji Abdulhamid. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Zantel Afrika, Mohamed Ali Dabbour na kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Zantel Tanzania, Benoit Janin wakishuhudia.
Mkuu wa Chuo cha Karume cha Sayansi na ufundi Haji Abdulhamid (katikati) akitoa shukrani mara baada ya kupokea msaada wa vitabu 152 vyenye thamani ya Tsh 10 milioni kutoka kwa Kampuni ya Mawasiliano ya Zantel. Kushoto ni Mkurugenzi wa Zantel Afrika, Mohamed Ali Dabbour, Mwenyekiti wa Zantel, Rachel Samren (wa pili kushoto), Mkurugenzi Mkuu wa Zantel Tanzania Benoit Janin (wa pili kulia) na Mkuu wa Zantel Zanzibar, Mohamed Mussa.
Mkuu wa Chuo cha Karume cha Sayansi na ufundi Haji Abdulhamid akitoa shukrani baada ya kupokea msaada wa vitabu 152 vyenye thamani ya Tsh 10 milioni kutoka kwa Kampuni ya Mawasiliano ya Zantel. Kushoto ni Mkurugenzi wa Zantel Afrika, Mohamed Ali Dabbour, Mwenyekiti wa Zantel, Rachel Samren (wa pili kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa Zantel Tanzania Benoit Janin.

Mkurugenzi Mkuu wa Zantel Afrika, Mohamed Ali Dabbour (kushoto) na Mwenyekiti wa Zantel, Rachel Samren wakifuatilia historia ya Chuo cha sayansi na ufundi cha Karume walipofika chuoni hapo kutoa msaada wa vitabu zaidi ya 152 vilivyogharimu Tsh milioni 10. Kulia ni Mkuu wa chuo hicho, Haji Abdulhamid. Hafla hiyo ilifanyika juzi kisiwani Unguja.
Mkurugenzi Mkuu wa Zantel Afrika, Mohamed Ali Dabbour (kushoto) akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwasili kwenye Chuo cha Karume cha Sayansi na Ufundi katika hafla ya kukabidhi vitabu 152 vilivyotolewa na Zantel kwa Chuo hicho. Kulia ni Mwenyekiti wa Zantel, Rachel Samren. Hafla hiyo ilifanyika juzi kisiwani Unguja.
Baadhi ya wanafunzi wa Chuo cha Karume cha Sayansi na Ufundi wakishuhudia hafla ya kukabidhiwa msaada wa vitabu zaidi ya 152 kutoka kwa Kampuni ya Mawasiliano ya Zantel. Hafla hiyo ilifanyika juzi kisiwani Unguja.
Baadhi ya wanafunzi wa Chuo cha Karume cha Sayansi na Ufundi wakishuhudia hafla ya kukabidhiwa msaada wa vitabu zaidi ya 152 kutoka kwa Kampuni ya Mawasiliano ya Zantel. Hafla hiyo ilifanyika juzi kisiwani Unguja.
Mkuu wa Chuo cha Karume cha Sayansi na Ufundi, Haji Abdulhamid (kushoto) akifurahia msaada wa vitabu vyenye thamani ya Tsh. milioni 10 vilivyotolewa na Kampuni ya Mawasiliano ya Zantel kwa shule yake jana kisiwani Unguja, Zanzibar. Katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa Zantel Tanzania, Benoit Janin na kulia ni Mkuu wa Zantel Zanzibar, Mohamed Mussa.
Mwenyekiti wa Zantel, Rachel Samren akikabidhi vitabu vyenye thamani ya Tsh. milioni 10 kwa Mkurugenzi wa chuo cha Karume cha Sayansi na Ufundi, Haji Abdulhamid ukiwa ni msaada kwa chuo hicho kutoka Zantel. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Zantel Afrika, Mohamed Ali Dabbour na Mkurugenzi Mkuu wa Zantel Tanzania, Benoit Janin.
Mwenyekiti wa Zantel, Rachel Samren akikabidhi msaada wa vitabu vyenye thamani ya Tsh. milioni 10 kwa Mkuu wa Chuo cha Karume cha Sayansi na ufundi Haji Abdulhamid katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika juzi Unguja-Zanzibar. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Zantel Tanzania, Benoit Janin.

No comments:

Post a Comment

Pages