KAMPUNI YA MAFUTA YA PANONE YAWAKUMBUKA WATOTO WANAOLELEWA KATIKA KITUO CHA GABRIELA CHA MJINI MOSHI


Wafanyakazi wa kampuni ya Mafuta ya Panone wakiwa katika picha ya Pamoja na watoto wanao lelewa katika kituo cha Gabriela cha mjini Moshi.
Afisa uhusiano wa timu ya soka ya Panone fc Kassmi Mwinyi akitoa zawadi kwa watoto wa kituo hicho.
Meneja Masoko wa Kampuni ya Panone Frank Mwaikatale akigawa zawadi ya mikate kwa watoto wanaolelewa katika  kituo cha Gabriela cha mjini Moshi.
Mlinda mlango wa timu ya Panone fc ya mkoani Kilimanjaro Ben Haule maarufu kama Yaw Berko akigawa zawadi kwa watoto wanao lelewa katika  kituo cha Gabriela.
Watoto pamoja na walezi wao wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Kampuni ya Panone ya mjini Moshi.
Watoto wa Kituo cha Gabriela na wafanyakazi wa kampuni ya Panone wakifurahia zawadi kwa pamojana .
Na Dixon Busagaga.

No comments:

Post a Comment

Pages