Maonesho ya Siku ya Wanawake Duniani katika Viwanja vya Mnara wa Kumbukumbu ya Mapinduzi Kisonge Zanzibar


Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Maonesho ya Siku ya Wanawake Duniani katika Viwanja vya Mnara wa Kumbukumbu ya Mapinduzi Kisonge Zanzibar. katika Viwanja vya Mnara wa Kumbukumbu ya Mapinduzi Zanzibar michezani Kisonge akiongozana na Mwenyekiti wa Tanzania Informal Sector Foundation Ndg Masaud Maftah, katika hafla ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kwa Maonesho ya Wajasiriamali wa Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akizungumza na Mwenyekiti wa Tanzania Informal Sector Foundation Ndg Masaud Maftaha na  Mwenyekiti wa Zanzibar Informal Sector Foundali Bi Nuru Mohammed Ahmeid, wakati wa hafla hiyo ya Maonesho ya Biashara za Wajasiriamali Wanawake Zanzibar katika maonesho ya Siku ya Wanawake Duniani.
Mkurugenzi Mkuu wac Banki ya Posta Tanzania Ndg Sabasaba Moshingi, akizungumza wakati wa maonesho hayo ya Wajasiriamali Wanawake kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani yaliofanyika katika viwanja vya Mnara wac Kumbukumbu ya Mapinduzi ya Zanzibar Michezani Kisonge.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimpongeza Mkurugenzi Mkuu wa Banki ya Posta Tanzania Ndg Sabasaba Moshingi baada ya kusoma risara yake wa maonesho hayo na kukabidhi hundi kwa ajili ya kuchangia Maonesho hayo.  
Makamu wa Pili wac Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akipokea mfano wa hundi ya shilingi miliono kumi na tano ikiwa mchango wa Benki ya Posta Tanzania kwa ajili ya kufanikisha Maonesho hayo ya kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kutoka Mkurugenzi Mkuu wa TPB. Ndg. Sabasaba Moshingi,   
Makamu wa Pili wac Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akipokea mfano wa hundi ya shilingi miliono kumi na tano ikiwa mchango wa Benki ya Posta Tanzania kwa ajili ya kufanikisha Maonesho hayo ya kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kutoka Mkurugenzi Mkuu wa TPB. Ndg. Sabasaba Moshingi, 
Mwenyekiti wa Zanzibar Informal Sector Foundation Bi Nuru Mohammed Ahmeid akizungumza machache kuhusiana na maonesho hayo yalioandaliwa na Jumuiya hiyo kwa Wajasiriamali Wanawake wa Zanzibar kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani yaliofanyika katika viwanja vya Mnara wa Kumbukumbu ya Mapinduzi Michezo Kisonge Zanzibar.na kuwashirikisha Wajasiriamali kutoka sehemu mbalimbali Zanzibar.
Mwenyekiti wa Tanzania Informal Sector Foundation Ndg Masoud Maftah akitowa maelezo kuhusiana na maonesho hayo ya Wajasiriamali wa Zanzibar Wanawake katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani. maonesho hayo yamefunguliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi katika viwanja vya Mnara wa Kumbukumbu ya Mapinduzi ya Zanzibar Michezani Kisonge leo.  
Waziri wa Ustawi wa Jamii Vijana Uwezeshaji Wanawake na Watoto Mhe Zainab Omar akihutubia wakati wa hafla hiyo ya Maonesho ya Wajasiriamali Wanawake Zanzibar kuadhimishi Siku ya Wanawake Duniani, kabla ya kumkaribisha Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kuyafungua Maoesho hayo.  
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwahutubia Wanawake Wajasiriamali katika viwanja vya Mnara wa Kumbukumbu ya Mapinduzi ya Zanzibar Michezani Kisonge, na kuyazindua rasmin maonesho hayo ikiwa ni kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani huadhimishwa kila mwaka 8, march. 
Wageni waalikwa wakiwa katika viwanja hivyo vya maonesho wakimsikiliza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwahutubia 
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe Abdalla Mwinyi Khamis Mwenyekiti wa Zanzibar Informal Sector Foundation Ndg Nuru Mohammed Ahmeid na Katibu wake Ali Mohammed,wakimsikiliza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akihutubia wakati wa ufunguzi wa Maonesho hayo ya Wanawake Wajasiriamali Zanzibar. 
Wanawake Wajasiriamali wakiwa katika viwanja vya Mnara wa Kumbukumbu ya Mapinduzi ya Zanzibar Michezani Kisonge wakimsikiliza Balozi Seif Ali Iddi akiwahutubia wakati wa ufunguzi wa Maonesho hayo kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani.
Wanawake Wajasiriamali wakiwa katika viwanja vya Mnara wa Kumbukumbu ya Mapinduzi ya Zanzibar Michezani Kisonge wakimsikiliza Balozi Seif Ali Iddi akiwahutubia wakati wa ufunguzi wa Maonesho hayo kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani.
Wanawake Wajasiriamali wakiwa katika viwanja vya Mnara wa Kumbukumbu ya Mapinduzi ya Zanzibar Michezani Kisonge wakimsikiliza Balozi Seif Ali Iddi akiwahutubia wakati wa ufunguzi wa Maonesho hayo kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akijiandaa kuyazindua Maonesho ya Wanawake Wajasiriamali Zanzibar ikiwa ni kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kushoto Mwenyekiti wa Zanzibar Informal Sector waandalizi wa Maonesho hayo mwenye sati jeupe Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania Ndg Sabasaba Moshingi,  
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikata utepe katika Banda la Benki ya Posta Tanzania kuashiria kuyafungua maonesho hayo ya Wajasiriamali Wanawake Zanzibar.kulia Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania Ndg Sabasaba Moshingi.

No comments:

Post a Comment

Pages